NOAH
Kurasa
HOME
CONTACT US
NAFASI ZA KAZI
Ijumaa, 20 Desemba 2013
KIMBUNGA CHAUA WAWILI MBEYA
Kimbunga kilichoambatana na mvua kimeezua nyumba 183 huko Mbarali mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu wawili.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Abbas Kandoro akipata maelezo jinsi kimbunga hicho kilivyoezua nyumba katika kata tatu za wilayani Mbarali.
Habari zaidi tutazipata baadaye
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni