GHANA NA LIBYA HAOOO FAINALI ZA CHAN KUPITIA MATUTA
Timu ya Taifa ya Ghana kwa wachezaji wa ndani imeitoa Nigeria kwenye mashindano ya CHA mwaka huu baada ya kuitoa kwa mikwaju ya penalti ambapo Ghan walipata penalti 4 kwa moja ya Nigeria.
Aidha Libya nayo imetinga fainali baada ya kuitoa Zimbabwe pia kwa matuta ambapo Libya ilipata penalti 5 kwa 4 za Zimbabwe katika fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani inayoendelea nchini Afrika Kusini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni