Mto Morogoro
ukiwa umefurika maji kutokana na mvua hizo.
Hawa
wakijadiliana jambo baada ya mafuriko hayo
Nyumba
imeanguka
Miundombinu ya
barabara ya kata ya Kichangani na kata ya Mwembesongo eneo la matofarini ikiwa
imeharibika na kuweka shimo upande wa kulia.
Wakivuka
katika mkondo wa maji yaliyokuwa yakitoka kwa Mchuma.
Hawa
wakielekea shule baada ya eneo walilokuwa wakilitumia kwa kupita kujaa maji ya
mafuriko eneo la Oil Com
Mkazi huyu
akiendesha baiskeli katika mazingira magumu
Wakiangalia
nyumba zao zilizofurika maji ya mafuriko.
Wananchi wakisaidiana kuvuka sehemu zilizojaa maji mjini Morogoro
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni