Baada ya 
pambano la karne kufanyika na matokeo kuwa mazuri kwa Floyd Mayweather 
swali aliloulizwa baada ya pambano ni kwamba atakuwa na pambano lingine 
akasema "yes, mwezi wa tisa ana pambano". Baada ya hapo alivyokuwa kwenye 
press conference alivyoulizwa nani utamtaka kwa ajili ya pambano lako la
 mwisho mwezi wa tisa. Mayweather alijibu kwa kifupi “Khan”.
Amir Khan
 ni bondia kutoka England ambaye na yeye ni bondia maarufu na mara nyingi
 amehusishwa kuhusu pambano kati yake na Mayweather. Pambano hilo ndio 
litakuwa la mwisho kwa Money Money. “Baada ya pambano langu la mwezi wa 
tisa nitastaafu kucheza tena boxing”.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni