
Klabu bingwa ya Ureno na Ulaya Real Madrid imebanwa mbavu nyumbani ilipotoka sare ya mabao 2-2 jana usiku.
Hili ni dhahiri linatokana na kuwakosa nyota wake Christiano Ronaldo aliye na marufuku ya mechi 5 kufuatia kadi nyekundu na kumsukuma Refa
Pia mchezaji mwingine Sergio Ramos naye alizawadiwa kadi nyekundu.katika mechi iliyopita hivyo kuikosa mechi hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni