Jumatatu, 28 Agosti 2017

REAL MADRID YABANWA MBAVU NA VALENCIA NYUMBANI

Real Madrid’s Marco Asensio.
Klabu bingwa ya Ureno na Ulaya Real Madrid imebanwa mbavu nyumbani ilipotoka sare ya mabao 2-2 jana usiku.

Hili ni dhahiri linatokana na kuwakosa nyota wake Christiano Ronaldo aliye na marufuku ya mechi 5 kufuatia kadi nyekundu na kumsukuma Refa

Pia mchezaji mwingine Sergio Ramos naye alizawadiwa kadi nyekundu.katika mechi iliyopita hivyo kuikosa mechi hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni