NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Jumatatu, 30 Juni 2014

LADY JAYDEE APAGAWISHA KENYA

Zilikuwa ni shangwe zakupitiliza pale mkali kutoka tzee Jaydee ilipofika zamu yake ya kupanda jukwaani, unaambiwa vile amepanda tu, uwanja mzima uliokuwa umefurika mashabiki, ulikuwa umeanza kupiga kelele zikisema yahayaa, ilikuwa ni kuanzia alipoanza kuimba nyimbo ya kwanza hadi ya saba, lakini watu wapi, walikuwa wamekazia na kuendelea kupaza sauti wakililia wimbo wa yahaya. Ni jambo ambalo hata lady Jaydee mwenyewe hakulitegemea.

Jaydee alifunguka nakusema “Tangu naanza kuimba wimbo wa kwanza mpk wa 7 watu wana scream tu, Yahaya, Yahaya. Duuuh! Kenya vipi?
Posted by Unknown at 04:51
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • THREE SHOT WHEN BANDITS ATTACK MATATU
    Maralal , Kenya: Three people have been seriously wounded after bandits attacked a matatu at Muguri in Maralal . Among the injured is ...
  • MAHABUSU GEITA WAVUA NGUO KUPINGA HALI MBAYA YA MAGEREZA
    Mahabusu Mkoani Geita leo wameamua kuvua nguo,wakidai haki zao,uamuzi huo uliibua tafrani mpaka jeshi la Polisi kuingilia kati. ...
  • Aliyemhimiza mpenziwe kujiuwa afungwa miaka 2 jela
      Michelle Carter na mpenziwe Conrad Roy Mwanamke mmoja wa Massachusetts nchini Mar...
  • MAYWEATHER JR AJIFUA KIROHO MBAYA
      Bondia Floyd Mayweather amesema atapigana mara moja zaidi baada ya kupambana na Manny Pacquiao mwezi ujao, kwa sababu amesema haji...
  • SABA WAULA JWTZ
    Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange kushoto akimvisha cheo kipya Meja Jenerali Simon Mumwi, Makao Makuu JWTZ Upanga jijini...
  • SIMU ZA SAMARTPHONE SI SALAMA KIVILE ZINAWEZA KUFUATILIWA KIRAHISI
    Utafiti umebaini kuwa betri za simu za android zinawezakutumika kufuatili...
  • EBOLA NI UGONJWA WA WATU MASKINI - ANNAN
    Mwana Diplomasia kutoka Ghana ambaye pia ni Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN) Kofi Annan amesema ugonjwa wa Ebola ni wa ‘m...
  • MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR AONJA JOTO YA JIWE DODOMA
    MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amejikuta akipata wakati mgumu bungeni ambapo askari wa Bunge walilazimika kumlinda na ...
  • MELI (FERRY) YA KOREA YA KUSINI YAZAMA
    Watu walionusurika wamekuwa wakielezea hali ilivyokuwa ya kutisha ndani ya meli ya Korea Kusini ilipoanza kusimama kwa kuyumba, akiegemea...
  • UNA KIGUGUMIZI? FANYA YAFUATAYO
      Kigugumizi ni hali ambayo mtu anashindwa kuongea moja kwa moja, kukwama kutamka neno, kurudiarudia neno au kuacha kuongea kabisa. Hali hi...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.