NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Jumatatu, 30 Juni 2014

LADY JAYDEE APAGAWISHA KENYA

Zilikuwa ni shangwe zakupitiliza pale mkali kutoka tzee Jaydee ilipofika zamu yake ya kupanda jukwaani, unaambiwa vile amepanda tu, uwanja mzima uliokuwa umefurika mashabiki, ulikuwa umeanza kupiga kelele zikisema yahayaa, ilikuwa ni kuanzia alipoanza kuimba nyimbo ya kwanza hadi ya saba, lakini watu wapi, walikuwa wamekazia na kuendelea kupaza sauti wakililia wimbo wa yahaya. Ni jambo ambalo hata lady Jaydee mwenyewe hakulitegemea.

Jaydee alifunguka nakusema “Tangu naanza kuimba wimbo wa kwanza mpk wa 7 watu wana scream tu, Yahaya, Yahaya. Duuuh! Kenya vipi?
Posted by Unknown at 04:51
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • MCHEZA SINEMA RICHARD KIEL ALIYECHEZA NA JAMES BOND AFARIKI DUNIA
    MUIGIZAJI Richard Kiel  ambaye alicheza kama Jaw katika sinema mbili za James Bond amekufa mjini California akiwa na umri wa miaka 74. M...
  • WASIOOGA WEWE JE
    Je wewe huwa unaoga mara ngapi kwa siku? ...
  • Sweden yafuzu kombe la dunia 2018 Italia OUT
      Mara ya mwisho Italia kushindwa kufuzu kushiriki mashindano haya ilikuwa mwaka 1958 ...
  • Lidege likubwa zaidi duniani latua Australia
    Antonov An-225 Mriya ndiyo ndege refu na nzito zaidi kuwai kujengwa. Maelfu ya watu ...
  • ALBINO WATANO WAREJESHEWA VIUNGO USA
    Albino 5 raia wa Tanzania waliokatwa viungo wamerejeshewa viungo ...
  • WATU WANNE KUNYONGWA HADI KUFA MWANZA
    Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete ...
  • AZIMIA BAADA YA KUMSUBIRI MPENZI WAKE KWA SIKU 10 AIRPORT
    Alexander akimsubiri mpenziwe siku 10 katika uwanja wa ndege Je penzi la kweli l...
  • TIGER WOODS ANGOKA JINO NCHINI ITALIA
      Tiger Woods baada ya ajali ya kamera. Tiger wood amepoteza jino lake la mbele juu baada ya kugo...
  • DROO YA YUROPA HII HAPA
    W ayne Rooney akiichezea Everton Hii hapa: Group A: Villarreal, Maccabi Tel Aviv, As...
  • Tapeli ahukumiwa kifungo cha miaka 13,275 jela nchini Thailand
      Takriban watu 40,000 wamedaiwa kudanganywa na tapeli huyo Mahakama moja ya Thailand ...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.