NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Jumatatu, 30 Juni 2014

LADY JAYDEE APAGAWISHA KENYA

Zilikuwa ni shangwe zakupitiliza pale mkali kutoka tzee Jaydee ilipofika zamu yake ya kupanda jukwaani, unaambiwa vile amepanda tu, uwanja mzima uliokuwa umefurika mashabiki, ulikuwa umeanza kupiga kelele zikisema yahayaa, ilikuwa ni kuanzia alipoanza kuimba nyimbo ya kwanza hadi ya saba, lakini watu wapi, walikuwa wamekazia na kuendelea kupaza sauti wakililia wimbo wa yahaya. Ni jambo ambalo hata lady Jaydee mwenyewe hakulitegemea.

Jaydee alifunguka nakusema “Tangu naanza kuimba wimbo wa kwanza mpk wa 7 watu wana scream tu, Yahaya, Yahaya. Duuuh! Kenya vipi?
Posted by Unknown at 04:51
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • SHULE 700 ZAFUNGWA NCHINI KOREA KUSINI
    Rais Park Geun-Hye ...
  • ANGALIA RAIS ANAYETEMBELEA VW BEETLE TZ VIPI
      TANZANIA imeshuhudia mwishoni mwa mwezi Mei na Juni mwanzo wakijitokeza wanasiasa kutoka vyama mbalimbali ikiwemo CCM na vile vya up...
  • BOTI YA MV KILIMANJARO II YAIBUA MAJONZI UPYA KWA WATUMIAJI WA USAFIRI WA MAJINI DAR ES SALAAM-ZANZIBAR.
    Kwa masikitiko makubwa tunapokea taarifa nyingine za maafa ya usafiri baharini hii ni mara ya tatu kutokea maafa kama haya au yanayofanana...
  • KIJANA ACHEZEA KICHAPO BAADA YA FUMANIZI
    Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Jose akivuja damu baada ya kipigo.Msala huo wa aina yake ambao ulivuta umati mkubwa ulijiri wikiend...
  • UNA KIGUGUMIZI? FANYA YAFUATAYO
      Kigugumizi ni hali ambayo mtu anashindwa kuongea moja kwa moja, kukwama kutamka neno, kurudiarudia neno au kuacha kuongea kabisa. Hali hi...
  • Mpigapicha ashinda kesi kuhusu 'selfie ya tumbili'
    Peta walidai huo alikuwa tumbili jike kwa jina Naruto lakini Bw Slater alidai alikuwa tumbili tofauti ...
  • MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA
    # Team GP W D L GF GA GD PTS 1 Man City 36 25 5 6...
  • Wawindaji haramu 3 wakamatwa Maswa Tz
    Wawindaji haramu nchini Tanzania wamuua rubani Muingereza Polisi n...
  • CHANJO YA EBOLA YALETA MATUMAINI - WHO
    Chanjo dhidi ya Ebola ikipewa mtu ...
  • MACHINGA WAUA ASKARI WA JIJI
    KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida vijana wanaodaiwa ni Wamachinga wamemuua askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwa kumpiga na stu...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.