Waokoajii wanajaribu kutafuta nafasi katika mtaa wenye nyumba zilizosongamana sana, ili kuleta mashine ya kunyanyua mabehewa ili kuwafikia wale walionasa.
Mabehewa yalianguka juu ya vibanda vilivyo karibu na njia ya reli.
Magazeti yanaarifu kuwa kazi za uokoaji zimekuwa ngumu kwa sababu watu wengi wamezonga eneo hilo.
Waokoaji wana wasiwasi kuwa pengine watu kadhaa wamenasa chini ya treni iliyopinduka katika mitaa ya Kibera, Nairobi - eneo la watu maskini.
Sehemu ya njia ya treni inayopita Kibera
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni