NDILO WIMBI KUBWA LILILOIPA DHORUBA MELI YA AZAM NA
KUSABABISHA ZAIDI YA WATU WATANO KUFARIKI DUNIA NA KUTAKA KUZAMA VISIWANI
ZANZIBAR JUZI.
KAZI
YA UOKOAJI NDIYO ILIKUWA HIVI.
Mmoja wa wahanga katika tukio hilo baada ya kuokolewa.
Ndani ya meli hiyo kila mmoja wa abiria akifanya
mawasiliano kwa njia ya simu na ndugu zake.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni