Barcelona
walitawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa
Juventus mabao matatu kwa moja katika mechi kali ya fainali iliochezwa
katika uwanja wa Olimpiki wa Berlin.
Barcelona walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Ivan Rakitic kunako dakika ya nne ya mwanzo wa kipindi cha kwanza.Katika mechi hiyo Andre Iniesta ndiye aliyetangazwa mchezaji bora.
Mechi hiyo pia ilikuwa ya mwisho kwa kiungo wa wakati wa Barcelona Xavi Hernandez ambaye anaondoka kilabu hiyo baada ya msimu huu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni