NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Ijumaa, 5 Juni 2015

CHURA AKUTWA NDANI YA KOPO LA NYANYA


Chura apatikana katika kopo la nyanya
Mtu na mkewe waliokuwa wakiandaa chakula cha mchana walipigwa na butwaa walikuta chura aliyekuwa amekufa ndani ya mkebe wa tomato.
Muhammad na Sanam Hussain waligundua hayo wakati bi Hussain alipokuwa akipika mchuzi katika nyumba yao huko Alum Rock mjini Birmigham.
Bi Hussain ambaye ni mjamzito wa miezi saba amesema kuwa anaugua baada ya kukiona kiumbe hicho ndani ya mkebe wa tomato.
Kampuni ya Euro Foods inayouza bidhaa hiyo imesema kuwa inachunguza ni vipi chura huyo aliingia ndani ya mkebe huo.

Chura apatikana ndani ya mkebe wa tomato Uingereza
Bi Hussain amesema,''kwa kweli inachukiza, nimeshtuka sana, nina wasiwasi kuhusu mtoto wangu kwa kuwa mimi ni mjamzito''.
''Nimeongea na mkunga wangu kuhusu niliyoyaona na akaniamibia niende hospitalini nitakaposikia vibaya.'', Mumewe amesema kuwa alishtushwa na makelele yaliopigwa na mkewe.
''Mke wangu alikuwa akiniandalia chakula cha mchana na mwanagu wa miezi 15 Wakati alipofungua mkebe huo alionekana na kuanza kupiga makelele akiniita''.
Posted by Unknown at 11:48
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • EBOLA NI JANGA LA KIMATAIFA -WHO
    Idadi ya watu waliofariki kutokana na Ebola Afrika Magharibi inasemekana kufika 900 Shirika la afya duniani WHO limetangaz...
  • MWATHIRIKA WA WESGATE ASIMULIA YALIYOMPATA
    Download kipindi hapa null Video ya hali ya juu mp3 (2 Mb) Ukiwa umetimia mwaka mmoja sasa tangu lifanyike shambulizi la ...
  • KIMBUNGA CHAUA WAWILI MBEYA
    Kimbunga kilichoambatana na mvua kimeezua nyumba 183 huko Mbarali mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu wawili.  Mkuu wa Mkoa ...
  • INTERPOL YASAKA MAAFISA 6 WA FIFA
    Polisi wa interpol watoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa ...
  • MTUHUMIWA WA UGAIDI ADAI KUTESWA
    Mtuhumiwa katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi n...
  • SIKU YA MOYO DUNIANI: UGONJWA WA MOYO UNA TIBA
    NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM MAISHA ya vijana wengi wa Kitanzania yapo hatarini kutokana na unywaji pombe na uvutaji sigara kupi...
  • Familia Sumbawanga yazua kioja kortini
    Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa jana iligeuka uwanja wa mapambano kati ya Polisi wa Kituo Kikuu na familia ya Mzee Anastaz...
  • MWANAMME MFUPI KULIKO WOTE DUNIANI ANAYEISHI KWA SASA
    Kulingana na kitabu cha Guiness Book of Records mtu mfupi kuliko wote duniani ni Chandra Bahadur Dangi kutoka nchini Nepal. Chandra ana uref...
  • LRA YAZIDI KUENEZA HOFU
    Katika kipindi cha miaka mitatu, vikosi vya Umoja wa Afrika vimekuwa vikiwasaka waasi wa LRA katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, na ingawa...
  • SAKATA LA KUBWA WATOTO LATIKISA TENA JIJI LA DAR
    Wanafunzi wa shule ya msingi wakitoka madarasani baada kutokea kwa hali ya vurugu. Lile sakata la utekaji na upoteaji wa watoto amba...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.