NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Ijumaa, 5 Juni 2015

CHURA AKUTWA NDANI YA KOPO LA NYANYA


Chura apatikana katika kopo la nyanya
Mtu na mkewe waliokuwa wakiandaa chakula cha mchana walipigwa na butwaa walikuta chura aliyekuwa amekufa ndani ya mkebe wa tomato.
Muhammad na Sanam Hussain waligundua hayo wakati bi Hussain alipokuwa akipika mchuzi katika nyumba yao huko Alum Rock mjini Birmigham.
Bi Hussain ambaye ni mjamzito wa miezi saba amesema kuwa anaugua baada ya kukiona kiumbe hicho ndani ya mkebe wa tomato.
Kampuni ya Euro Foods inayouza bidhaa hiyo imesema kuwa inachunguza ni vipi chura huyo aliingia ndani ya mkebe huo.

Chura apatikana ndani ya mkebe wa tomato Uingereza
Bi Hussain amesema,''kwa kweli inachukiza, nimeshtuka sana, nina wasiwasi kuhusu mtoto wangu kwa kuwa mimi ni mjamzito''.
''Nimeongea na mkunga wangu kuhusu niliyoyaona na akaniamibia niende hospitalini nitakaposikia vibaya.'', Mumewe amesema kuwa alishtushwa na makelele yaliopigwa na mkewe.
''Mke wangu alikuwa akiniandalia chakula cha mchana na mwanagu wa miezi 15 Wakati alipofungua mkebe huo alionekana na kuanza kupiga makelele akiniita''.
Posted by Unknown at 11:48
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • MISHIKAKI YA CHURA HII HAPA
    Philip Paul mfanyabiashara wa mishikaki ya chura katika jimbo la Adamawa nc...
  • ADHA YA WAATHIRIKA MAFURIKO WA MAGOLE-DUMILA NAMNA WALIVYOJIOKOA KWA VITI NA MEZA KWA KUSIMAMA ZAIDI YA MASAA MATATU KUNUSURI KIFO NA MAJI YA MAFURIKO MOROGORO.
    Mwalimu Kongera. Haya ndiyo sehemu ya makochi yaliyogeuka kuwa mwokozi kwa watu zaidi ya 20 kunusuru maisha yao ikiwemo na...
  • IMAMU AMWAGIWA INAYODAIWA TINDI KALI ARUSHA
      IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, baada ya kumw...
  • PROFESA TIBAIJUKA ATOA UTETEZI WA ZIWA NYASA
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameweka wazi utetezi wa Tanzania katika mgogoro wa mpaka wa Ziwa N...
  • WAHABESHI 55 WANASWA HIMO MOSHI
    Waethiopia 55 wamekamatwa na wanakijiji cha Chekereni Pabliki kilichopo Himo, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wakiwa wamejificha kichak...
  • MAREKANI KUIDHINISHA VIAGRA YA WANAWAKE
      Viagra ya wanawake kuidhinishwa nchini Marekani Jopo la wataalamu wa serikali ya Marekani limew...
  • MKURUGENZI WA ZAMANI WA USALAMA WA TAIFA AFUNGUKA KUHUSU UMUHIMU WA VIJANA KWENYE UASALA WA NCHI
    Balozi wa Umoja wa Mataifa, Augustine Maiga, akitoa mada wakati maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyojadili Nafasi ya Vijana katika ...
  • MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE
    Grace Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito. GRACE Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito wa kupindukia wa kilo 111 (kama gunia ...
  • AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014 NA NNE 2013
    KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KWA WAHITIMU WATARAJIWA WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA NNE 2013 Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi l...
  • JK AKUTANA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO NCHHINI
    Viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania wakiwasili Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Machi 5, 2015 kuonana n...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.