NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Jumatano, 29 Julai 2015

KOCHA MIGUEL AFURUTWA KAZI

Miguel Herrera kocha wa Mexico aliyefukuzwa kazi
Kocha kutoka Mexico, Miguel Herrera amefukuzwa kazi baada ya kumshambulia mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha luninga.
Hatua hii ya kufukuzwa kazi kwa kocha huyo kunakuja ikiwa ni mbili tu baada ya kuongoza kikosi hicho kwenye kombe la saba la medali ya dhahabu nchini Marekani.
Miguel Herrera mwenye umri wa miaka 47 amekuwa akiiongoza timu hiyo ya Mexico kwa miaka16 hadi sasa. katika utetezi wake Herrera amesema kuwa alifanyiwa fujo ndo maana akafikia hatua hiyo
Posted by Unknown at 12:03
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MANJANO FOUNDATION YAKAMILIKA
    Wasichana waliochaguliwa kunufaika na Mpango huo wakiwa Katika Picha ya Pamoja na  Afisa Mtendaji Mkuu wa  Shear illusions Ltd. Mama   Sh...
  • CC YAWASIMAMISHA TIBAIJUKA, CHENGE NA NGELEJA
    KAMATI KUU ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 28/8/2015, kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja alasir...
  • KAMATI TEULE YA BUNGE YA KUCHUNGUZA MIGOGORO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI IKO MOROGORO
    Kamati teule ya Bunge ya kuchunguza sababu za matukio ya mara kwa mara ya migogoro kati wakulima na wafugaji ipo mkoani Morogoro kuendelea n...
  • UNA KIGUGUMIZI? FANYA YAFUATAYO
      Kigugumizi ni hali ambayo mtu anashindwa kuongea moja kwa moja, kukwama kutamka neno, kurudiarudia neno au kuacha kuongea kabisa. Hali hi...
  • Ajali mbaya ya basi yazuiwa na mtalii baada ya dereva kuzimia Austria
    Ajali mbaya ya basi yazuiwa na mtalii baada ya dereva kuzimia Austria Mtalii mmoja kut...
  • MAKADA WA VYAMA NA MAADILI
    Hawa makada na wanachama  CUF wakionyesha vitu vyao. Je makada hawa kweli wanaitendea haki jamii kwa upande wa maadili? Makada wa CCM ...
  • WATU 100 WAKAMATWA MJINI MOMBASA KUFUATIA SHAMBLIZI LA KIGAIDI KANISANI
      Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia mashambulizi yaliyofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo siku ya Jum...
  • SERIKALI KUTATUA CHANGOMOTO ZA BARABARA - PINDA
    Meneja Miradi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi John Msemo akitoa maelezo juu ya mradi wa NSSF wa nyumba wa Mt...
  • MAN CITY WAKARIBIA UBINGWA EPL
      Mtu wa heshima: Edin Dzeko akiunguruma baada ya kufunga bao lake la kwanza leo Etihad dhidi ya Aston Villa. KWA asilimia kubw...
  • MWANAMKE MZEE ZAIDI DUNIANI AELEZA SIRI - KUTOOLEWA
    Mwanamke wa Mexicana, Leandra Becerra mwenye umri wa miaka 127 anaetajwa kuwa mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani ameeleza siri ya kuishi...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 7 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.