NOAH

Kurasa

  • HOME
  • CONTACT US
  • NAFASI ZA KAZI

Jumatano, 29 Julai 2015

KOCHA MIGUEL AFURUTWA KAZI

Miguel Herrera kocha wa Mexico aliyefukuzwa kazi
Kocha kutoka Mexico, Miguel Herrera amefukuzwa kazi baada ya kumshambulia mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha luninga.
Hatua hii ya kufukuzwa kazi kwa kocha huyo kunakuja ikiwa ni mbili tu baada ya kuongoza kikosi hicho kwenye kombe la saba la medali ya dhahabu nchini Marekani.
Miguel Herrera mwenye umri wa miaka 47 amekuwa akiiongoza timu hiyo ya Mexico kwa miaka16 hadi sasa. katika utetezi wake Herrera amesema kuwa alifanyiwa fujo ndo maana akafikia hatua hiyo
Posted by Unknown at 12:03
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

NOAH JR

NOAH JR

Machapisho Maarufu

  • MISHIKAKI YA CHURA HII HAPA
    Philip Paul mfanyabiashara wa mishikaki ya chura katika jimbo la Adamawa nc...
  • WAHABESHI 55 WANASWA HIMO MOSHI
    Waethiopia 55 wamekamatwa na wanakijiji cha Chekereni Pabliki kilichopo Himo, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wakiwa wamejificha kichak...
  • ADHA YA WAATHIRIKA MAFURIKO WA MAGOLE-DUMILA NAMNA WALIVYOJIOKOA KWA VITI NA MEZA KWA KUSIMAMA ZAIDI YA MASAA MATATU KUNUSURI KIFO NA MAJI YA MAFURIKO MOROGORO.
    Mwalimu Kongera. Haya ndiyo sehemu ya makochi yaliyogeuka kuwa mwokozi kwa watu zaidi ya 20 kunusuru maisha yao ikiwemo na...
  • MAREKANI KUIDHINISHA VIAGRA YA WANAWAKE
      Viagra ya wanawake kuidhinishwa nchini Marekani Jopo la wataalamu wa serikali ya Marekani limew...
  • AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014 NA NNE 2013
    KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KWA WAHITIMU WATARAJIWA WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA NNE 2013 Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi l...
  • JK AKUTANA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO NCHHINI
    Viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania wakiwasili Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Machi 5, 2015 kuonana n...
  • IMAMU AMWAGIWA INAYODAIWA TINDI KALI ARUSHA
      IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, baada ya kumw...
  • PROFESA TIBAIJUKA ATOA UTETEZI WA ZIWA NYASA
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameweka wazi utetezi wa Tanzania katika mgogoro wa mpaka wa Ziwa N...
  • MKURUGENZI WA ZAMANI WA USALAMA WA TAIFA AFUNGUKA KUHUSU UMUHIMU WA VIJANA KWENYE UASALA WA NCHI
    Balozi wa Umoja wa Mataifa, Augustine Maiga, akitoa mada wakati maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyojadili Nafasi ya Vijana katika ...
  • MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE
    Grace Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito. GRACE Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito wa kupindukia wa kilo 111 (kama gunia ...

BLOG MARAFIKI

  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    Miaka 8 iliyopita

Kumbukumbu la Blogu

  • Novemba (12)
  • Desemba (31)
  • Januari (95)
  • Februari (51)
  • Machi (65)
  • Aprili (77)
  • Mei (49)
  • Juni (73)
  • Julai (83)
  • Agosti (101)
  • Septemba (156)
  • Oktoba (40)
  • Novemba (13)
  • Desemba (21)
  • Januari (67)
  • Februari (47)
  • Machi (32)
  • Aprili (58)
  • Mei (103)
  • Juni (73)
  • Julai (33)
  • Agosti (6)
  • Septemba (7)
  • Oktoba (5)
  • Novemba (4)
  • Desemba (4)
  • Januari (7)
  • Februari (6)
  • Machi (10)
  • Aprili (11)
  • Mei (5)
  • Juni (12)
  • Julai (11)
  • Agosti (3)
  • Septemba (4)
  • Oktoba (6)
  • Novemba (24)
  • Desemba (10)
  • Januari (26)
  • Februari (14)
  • Aprili (4)
  • Mei (13)
  • Juni (4)
  • Julai (10)
  • Agosti (32)
  • Septemba (25)
  • Oktoba (8)
  • Novemba (12)
  • Desemba (20)
  • Januari (12)
  • Aprili (4)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Kunihusu

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.